Mwandishi Wetu
![]() |
| Rais John Magufuli |
MBUNGE wa Mtwara Mjini, Maftaha Nachuma (CUF),
ametaja baadhi ya mambo katika 34 yaliyomfanya kupiga kura ya ‘ndiyo’ kwenye
mchakato wa upitishaji Bajeti kwa mwaka 2017/18.
Baadhi mambo hayo ni pamoja na Bajeti
kutetea rasilimali za madini, kuondoa kodi kwenye maeneo mengi yanayogusa
wananchi na kuondoa tozo zilizokuwa zikitesa wafanyabiashara.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Nachuma
alisema kwa kiasi kikubwa kuoendolewa tozo kwenye mazao kutawezesha upatikanaji
chakula kwa wingi na bei haitapanda.
“Mimi mbunge ninayejitambua, nampongeza
Rais John Magufuli kwa kusimamia rasilimali za nchi vizuri licha ya kuwapo watu
wasio na sera wanaoponda anavyofanya, hivyo namsihi akaze buti,” alisema.
Aliongeza kuwa anaunga mkono bajeti zote
zilizopitishwa pamoja na mikataba ya madini iliyosainiwa na kupitishwa na Serikali
ya sasa.
Aidha, alisema mambo mengine katika hayo
34 anatarajia kuyataja katika mikutano yake ya hadhara anayotarajia kuifanya
jimboni hivi karibuni.







Inafurahisha moyo wangu kuwa hapa kumshukuru Dkt. DAWN.
ReplyDeleteSikuwahi kufikiria ningeweza kuona ndoa yangu ikifanikiwa tena licha ya kila kitu ambacho tayari kilikuwa kikienda kinyume nami. Dkt. DAWN alinisaidia. Nilikuwa na tatizo nyumbani, ambalo lilisababisha mume wangu kuondoka, na tayari nilikuwa mjamzito na ikawa vigumu kwangu kukabiliana bila yeye. Familia yake iliniunga mkono wakati wote, lakini hakuna mtu aliyeweza kunisaidia kurudiana isipokuwa Dkt. DAWN, ambaye aliingilia kati nilipohitaji msaada zaidi. Alitatua tatizo hilo na mume wangu akarudi nyumbani kwangu baada ya saa 48 tu, kwa sababu bado aliishi katika mji mmoja na mimi. Inashangaza unapopata msaada ambapo hukufikiria kama unaweza kuupata. Kwa mara nyingine tena, asante, Dkt. Dawn, kwa yote unayofanya kuwasaidia watu wanaohitaji msaada wa dharura. Mtumie barua pepe kwa: ( dawnacuna314@gmail.com )
au umtumie ujumbe wa WhatsApp: +2349046229159
Nilipogundulika kuwa na saratani ya hatua ya 4, nilihisi kukata tamaa kabisa. Madaktari waliniandaa kwa ajili ya hali mbaya zaidi, na nilizidiwa na hofu na kutokuwa na uhakika. Wakati huo mgumu, nilitoa ushuhuda tofauti wa watu, jinsi walivyoponywa kupitia dawa ya mitishamba ya Dr Dawn, na kuwasiliana naye kupitia WhatsApp yake: ( +2349046229159 )
ReplyDeleteAliniahidi kwamba nitakuwa mzima tena ndani ya mwezi 1 baada ya kumuelezea kila kitu, niliagiza dawa ya mitishamba na kufuata maagizo. Leo, ninashukuru sana kwa mahali nilipo. Mungu atukuzwe kwa kunipa nguvu, mwongozo, na uponyaji. Niko huru kabisa na imethibitishwa kimatibabu. Hata mfanyakazi mwenzangu pia aliponywa kupitia dawa ya mitishamba ya Dr DAWN.
Ikiwa wewe au mtu unayemjua anakabiliwa na ugonjwa mbaya, tafadhali wasiliana na Dr Dawn. Na usipoteze tumaini. Kwa sababu hakika atakuponya
WhatsApp yake: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com